MKOA WA LINDI KUPOKEA ZAIDI YA WAJUMBE 600 WA CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA)

Muonekano wa Hotel ya Sea View Beach Resort
 Muonekano wa  Hotel ya Sea View Beach Resort
  
 
Mandhari ya Ukumbi wa Hotel ya Sea View Beach Resort ambapo unatarajiwa kufanyika Mkutano Mkuu wa chama Cha Wauguzi Tanzania (TANNA) na Kongamano la Kisayansi, Oktoba 04-06, 2017. Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa



 Wajumbe wakijiandikisha


 Wajumbe Mbalimbali wakiendelea kujiandikisha
Rais wa Chama Cha Wauguzi Tanzania (TANNA), Paul Magesa (wa nne kushoto) waliyosimama katika picha ya pamoja na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa  Chama hicho  kutoka mkoa wa Arusha 

0 comments: