KATIBU TAWALA MKOA WA LINDI APOKEA VIONGOZI WA TANNA KATIKA MKOA WAKE
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 6:18 AM
Rais wa Chama Cha Wauguzi Tanzania (TANNA), Paul Magesa (kushoto) akisalimiana na Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Ramadhni Kaswa mara alipofika Ofisini kwake akiongozana na Wajumbe wenzake
Mwenyekiti wa Chama Cha Wauguzi Tanzania (TANNA) Mkoa wa Lindi, Patrick Achimpota (kushoto) akisalimiana na Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Ramadhni Kaswa
Makamu wa Rais wa Chama Cha Wauguzi Tanzania (TANNA) , Ibrahim Mgoo (kushoto) akisalimiana na Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Ramadhni Kaswa
Raisi wa Chama Cha Wauguzi Paul Magesa (katikati) na Makamu wake Ibrahim Mgoo (kushoto) wakisaini katika kitabu cha wageni mara walipowasili katika Ofisi ya Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Ramadhni Kaswa
Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Ramadhni Kaswa akizungumza na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Wauguzi Tanzania (TANNA) kutoka sehemu mbalimbali mara walipofika Ofisini kwake
Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Ramadhni Kaswa (wa nne kulia) katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Wauguzi Tanzania (TANNA)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: