 |
|
Mkuu
wa mkoa wa Tanga Martin Shigella (kushoto), akifunua kitambaa ikiwa ni ishara
ya uzinduzi wa jingo la upasuaji katika kituo cha Afya Mwera, mkoani humo Juni
3, 2016. Kulia ni Mkuu wa Wilayaya Muheza Esterina Kilasi. (Picha na Tanga Raha
Blog)
|
 |
|
Mkuu
wa mkoa wa Tanga, Martin Shigella akizungumza mara baada ya kuzindua jingo hilo.
|
|
 |
|
Baadhi
ya watumishi wa halmashauri ya wilaya ya pangani wakimsikiliza kwa umakini mkuu
wa mkoa wa Tanga, Martin Shigella
alipokuwa akizungumza nao
|
 |
| Mkuu wa mkoa akisalimiana na baadhi ya waliohudhuria hafla hiyo |
Mkuu
wa mkoa wa Tanga, Martin Shigella (katikati), akishuka kwenye kivuko cha mto Pangani
kushoto kwake ni kaimu mkuu wa wilaya ya Pangani, Esteria Kilasi ambaye ni mkuu
wa wilaya ya Muheza na kulia ni katibu tawala wa mkoa wa Tanga, mhandisi Zena Said
0 comments: