NAIBU KATIBU MKUU WA CCM-BARA, RAJABU LUHWAVI AENDELEA NA ZIARA YAKE YA KUHAMASISHA CHAMA, YUKO MKOANI MANYARA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 7:35 AM
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akiagana na Afisa Tawala wa mkoa wa
Manyara Eliakim Maswi baada ya mazungumzo na mkuu wa mkoa huo Joel Bendera
(Katikati), alipoenda ofisini kwa mkuu huyo wa mkoa, mjini Babati leo Mei 30,
2016.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi (kulia) akizungumza na Mkuu wa
mkoa wa Manyara Joel Bendera alipoenda ofisini kwa mkuu huyo wa mkoa,
mjini Babati leo Mei 30, 2016.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM,-Bara, Rajab Luhwavi akisalimiana na Mwenyekiti wa
CCM mkoa wa Manyara, Luccas Ole Mukusu, alipowasili kwenye Ofisi ya CCM
mkoa huo, mjini Babati, leo Mei 30, 2016. Kushoto ni Katibu wa CCM mkoa
huo Ndegesu Ndekobali.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM,-Bara, Rajab Luhwavi akisalimiana na baadhi ya
watumishi wa CCM mkoa wa Manyara, alipowasili kwenye Ofisi ya CCM mkoa
huo, mjini Babati, leo Mei 30, 2016. Kushoto ni Katibu wa CCM mkoa huo
Ndegesu Ndekobali.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akisaini Kitabu cha wageni
katika Ofisi ya CCM mkoa wa Manyara, baada ya kuwasili mjini Babati leo
Mei 30, 2016. Kushoto ni Katibu wa CCM wa mkoa huo, Ndegesu Ndekobali.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akisaini Kitabu cha wageni
katika Ofisi ya CCM mkoa wa Manyara, baada ya kuwasili mjini Babati leo
Mei 30, 2016. Kushoto ni Katibu wa CCM wa mkoa huo, Ndegesu Ndekobali.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi (kulia) akizungumza na Mkuu wa
mkoa wa Manyara Joel Bendera alipoenda ofisini kwa mkuu huyo wa mkoa,
mjini Babati leo Mei 30, 2016. Kushoto ni Afisa Tawala wa mkoa huo,
Eliakim Maswi.
Katibu wa CCM wa mkoa wa Manyara Ndekobali akishukuru baada ya mazungumzo hayo
wakiagana baada ya mazungumzo. (PICHA ZOTENA BASHIR NKOROMO WA CCM)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)









0 comments: