BASI LA MWENDO KASI LABAMIZWA KATIKA MAKUTANO YA BARABARA YA MSIMBAZI NA UMOJA WA MATAIFA DAR ES SALAAM MCHANA HUU
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 10:44 AM
Basi la mwendokasi T 123 DGW labamizwa na Gari namba za usajili T543 CUQ , katika makutano ya Barabara ya Msimbazi na Umoja wa Mataifa Dar es Salaam mchana huu kama linavyo onekana pichani. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: