| Mawaziri wapya wakisubiri kuapishwa leo Ikulu jijini Dar es Salaam. |
| Mawaziri wapya wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya kuapishwa leo Ikulu Jijini Dar es Salaam. |
![]() |
| Rais Magufuli (kushoto) akimuapisha Profesa Jumanne Maghembe (kulia) kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, leo Ikulu Jijini Dar es Salaam. |
| Rais Magufuli (kushoto) akimuapisha Dkt. Joyce Ndalichako (kulia) kuwa Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi. (baada ya kumteua kuwa Mbunge), leo Ikulu Jijini Dar es Salaam. |
| Rais Magufuli (kushoto) akimuapisha Dkt. Philip Mpango (kulia) kuwa Waziri wa Fedha na Mipango (baada ya kumteua kuwa Mbunge), leo Ikulu Jijini Dar es Salaam. |
| Rais Magufuli (kushoto) akimuapisha Mhandisi Gerson Lwenge (kulia) kuwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji, leo Ikulu Jijini Dar es Salaam. |

0 comments: