MAREKANI YASIKITISHWA NA TAMKO LA ZEC KUFUTA UCHAGUZI ZANZIBAR
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 11:49 AM
Marekani yasikitishwa na tamko la ZEC kufuta uchaguzi Z’bar
Serikali ya Marekani imesema imestushwa na tamko lililotolewa na
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ambapo ametamka kusudio lake
la kufuta matokeo ya uchaguzi wa urais wa Zanzibar.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments: