" JAMBO LA ZANZIBAR NI LETU BARA, NA KINYUME CHAKE.. "

Ndugu zangu,
Ndivyo ninavyoamini. itabaki kuwa hivyo, ni ukweli wa kihistoria. Ndio tafsiri ya Julius Nyerere kuomba kama ingewezekana kuvisukuma visiwa viende mbali. Haiwezekani.
Pichani ni miaka ya nyuma nikiwa na Profesa Shivji kwenye moja ya migahawa ya Mji Mkongwe. Profesa na mimi tuliongea mengi sana kuhusu siasa za visiwani.
Maggid." Jambo La Zanzibar Ni Letu Bara, Na Kinyume Chake.."
Ndugu zangu,
Ndivyo ninavyoamini. itabaki kuwa hivyo, ni ukweli wa kihistoria. Ndio tafsiri ya Julius Nyerere kuomba kama ingewezekana kuvisukuma visiwa viende mbali. Haiwezekani.
Pichani ni miaka ya nyuma nikiwa na Profesa Shivji kwenye moja ya migahawa ya Mji Mkongwe. Profesa na mimi tuliongea mengi sana kuhusu siasa za visiwani.
Maggid

0 comments: