Askofu
wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akiwa kwenye baiskeli ya
wagonjwa wakati akitoka katika Hospitali ya TMJ Dar es Salam leo mchana
kwenda Kituo cha Polisi cha Oyterbay kupewa dhamana.
Askofu Gwajima akiingia kwenye gari huku 'akiugulia' wakati akielekea kwenye kituo hicho kupewa dhamana
Baadhi ya waandishi wa habari wakitoka kituo cha Polisi Oysterbay kufuatilia
habari hiyo.
Wachungaji wakibadilishana mawazo wakati wakimsubiri Askofu Gwajima apewe dhamana
Waumini wa kanisa hilo wakijiandaa kumpokea Askofu wao
baada ya kupatiwa dhamana
waumini hao wakiwa kituoni hapo.
Waumini
wa Kanisa la Ufufuo na Uzima wakiwa wamelizonga gari lililombena Askofu
Mkuu wa Kanisa hilo, Josephat Gwajima, huku wakishangilia kwa kusema
Yesu, Yesu... baada ya kupewa dhamana katika Kituo cha Polisi Oysterbay
Dar es Salaam leo mchana.
Waumini hao wakilipungia mkono gari lililomchukua
Askofu Gwajima.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: