MAMIA WAJITOKEZA KUUAGA MWILI WA CHRISTOPHER KISAKA ,KIJIJINI LUSANGA MKOA WA TANGA JANA

 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya JL Communications, Juma Pinto, akiweka shada la  maua katika kaburi la Christopher Kisaka,  ambaye ni baba  mzazi wa mmoja wa wakurugenzi wa kampuni hiyo jana. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA) Mmiliki wa Blog ya  UJIJIRAHAA.
 Waombolezaji wakimsikiliza Padri wa Kanisa la Anglikana  Lusanga Dayosisi ya Tanga ,Aidan Kamote wakati wa Ibada ya misa ya kumuombea kabla ya kwenda mazishini kijijini hapo.

 Mhariri Mtendaji wa  Kampuni ya JL Communications, Anicetus Mwesa, akikabidhi Mchango wa Laki Tano  kwa mwanafamilia, Charles Rajabu,  ikiwa ni Rambirambi kwania ya kampuni hiyo  jana 
  Waombolezaji wakiuweka kaburini mwili wa Christopher Kisaka  jana katika makaburi ya Lusanga Wilaya ya Muheza mkoani Tanga .


0 comments: