AJALI YA BASI LA ABIRIA NA KULIGONGA TRECTA ENEO LA MKATA MKOA WA PWANI

Wananchi wakiangalia ajali ya basi la Sabco Express lenye namba za usajili T 470 ALH , likitoka Dar es Salaa kwenda Arusha baada ya kugongana na trecta maeneo ya Mkata Mkoani Pwani jana .Haikufanyika mara moja kama kunamtu aliyepoteza maisha katika ajali hiyo. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA) Mmiliki wa  Blog ya UJIJIRAHAA. 

Wananchi wakiangalia ajali ya basi la Sabco Express lenye namba za usajili T 470 ALH , likitoka Dar es Salaa kwenda Arusha baada ya kugongana na trecta maeneo ya Mkata Mkoani Pwani jana .Haikufanyika mara moja kama kunamtu aliyepoteza maisha katika ajali hiyo, ambapo abiria ilibidi watoke kupitia mlango wa Dreva kama ilvyo naswa na kamera ya Blog ya  UJIJI RAHAA.huku wengine wakilia.

0 comments: