HIVI NDO VITUKO VYA MBUNGE SHAROBARO WA KENYA
Mike
Sonko ni yule Mwanasiasa mwenye vituko ambae alipata umaarufu sana toka
akiwa mbunge kwa kuwa na swagg zake kivyakevyake, alikua mbunge kijana
ambae anaingia na hereni bungeni, blingbling kibao kama cheni na pete
kama anavyoonekana ametupia kwenye hii picha hapa juu akiwa sasa ni
Seneta wa jiji la Nairobi.Sasa juzi kati Rais Uhuru Kenyatta alikwenda
The Hague Uholanzi kwenye Mahakama ya ICC kwa hiyo Wakenya wenzake

0 comments: