YALIYOJIRI MAKAO MAKUU POLISI WAKATI MBOWE ALIPOFIKA KIHOJIWA .
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 4:12 PM
Picha zote na Khamisi Mussa.
Askari wakipata maelekezo
Askari akitowa maelekezo kwa Wanahabari na kwa wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Askari wakiwa wamejipanga lango Kuu la Makao Makuu ya Jeshi la Polisi
Mwanachama akipata maelekezo toka kwa Askari
Viongozi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo,Akiwemo prof , Abdallah Safari kushoto wakatikati ,Singo Kigaila na wapili kushoto ni wakili Mabere Marando. na wakwanza kushoto ni mjumbe Bodi ya Wadhamini Muslim Hasanal
Mwenyekiti wa chama cha Demoksasia na Maendeleo Chadema , Mbowe, alipo wasili Makao Makuu ya Polisi akiwa na wafuwasi wachama hicho.
Waandishi walipokuwa wakiondolewa katika eneo la tukio na wakiamriwa wakae mita 200 nje ya Uzio.
Kamanda
Mshikemshike ya vuta nikuvute ikiwa imeanza
Mshikemshike ya vuta nikuvute ikiwa imeanza.
Mshikemshike ya vuta nikuvute ikiwa imeanza
Mshikemshike ya vuta nikuvute ikiwa imeanza
Wakitumia mbw kwa kuwatawanya wafuasi pamoja na waandishi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: