Posted by
khamisimussa77@gmail.com
at
8:54 AM
Ulinzi mkali ukiwa umeimarishwa eneo la Makao Makuu ya Polisi wakati Freeman Mbowe akiwasili kuhojiwa.
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema Taifa (Bawacha), Halima Mdee akiwasili Makao Makuu ya Polisi jijini Dar leo.
Wananchi wakiwa Makao Makuu ya Polisi.
Mbowe
amefika makao makuu hayo kwa ajili ya kuhojiwa kuhusu kauli yake
aliyoitoa Jumapili iliyopita ya kuitisha maandamano nchi nzima
kushinikiza kusitishwa kwa Bunge Maalumu la Katiba.
Katika
tukio hilo, baadhi ya waandishi wa habari wamekimbizwa na polisi
waliokuwa na mbwa wakitakiwa kukaa umbali wa mita 200 kutoka katika
makao makuu hayo ya polisi.
(Picha na Global Whatsapp +255 753 715 779)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments: