ASKARI 2 WA JESHI LA POLISI MKOANI RUVUMA WAMEJERUHIWA .

Askari 2 wa Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma , wamejeruhiwa vibaya na kulazwa katika Hospitali ya Mkoa huo, baada ya kurushiwa kitu kinachodhaniwa  kuwa ni bomu wakiwa katika doria .

0 comments: