WATU 3 WAMEFARIKI LONDE WILAYANI MISUNGWI MKOANI MWANZA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 7:39 AM
Watu 3 wamefariki papo hapo na wengine 4 wamajeruhiwa vibaya baada ya gari lao aina ya prado kupasuka tairi la nyuma na kupinduka katika kijiji cha Londe Wilayani Misungwi mkoani Mwanza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: