WATOTO WAWILI WAFARIKI DUNIA KWA KUANGUKIWA NA MTI



Huu ndio mti uliosababisha vifo vya watoto wawili 




Mmoja wa shuhuda akizungumzia kuhusu tukio hilo ambapo watoto wawili walifariki na mmoja kujeruhiwa na mti huo


Kiongozi akizungumzia swala hilo na kusisitiza wazazi wawachunge watoto wao wasiwe wanacheza maeneo hayo ya miti
Baadhi ya Mashuhuda wakishuhudia tukio zima la watoto hao waliofariki kwa kuangukiwa na mti

Hapa ilikuwa ni wakati wa kuwaokoa watoto hao

Picha zote na Tanga yetu Blog 

0 comments: