UJIJI RAHAA

  • Ujijirahaa-Kimataifa
  • Home
  • Ujijirahaa Matukio katika Picha

tamasha la serengeti fiesta kurindima kesho ndani ya viwanja vya leaders club.

Posted by khamisimussa77@gmail.com at 12:12 PM

Allan 1
Meneja Masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti, Allan Chonjo akiwatambulisha baadhi ya wasanii watakaotoa burudani katika tamasha la Serengeti Fiesta 2013 kutoka nje ya Tanazania, kushoto ni Alaine Laughton kutoka Jamaica na Mohombi Nzasi Moupondo kutoka Sweden. Hafla hiyo ilifanyika katika hoteli ya Serena iliyopo katika jiji la Dar ES Salaam. tamasha la Serengeti Fiesta 2013 leo katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar Es Salaam
Allan 3
Msanii Alaine Laughton (katikati) akiongea na wanahabari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho wa wasanii wa kimataifa watakaotoa burudani katika tamasha la Serengeti Fiesta 2013 leo katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar Es Salaam. Kushoto ni msanii kutoka Nigeria David Adeleke (Davido) na Kulia ni Meneja masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti Allan Chonjo.
Allan 7
| 0 comments
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook

Share

  • Twitter
  • Facebook
  • Delicious
  • Email

0 comments:

Newer Post Home Older Post
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

    JIMAMA LENYE MAKALIO MAKUBWA HIPS LAPAGAWISHA MAREKANI.

    JIMAMA LENYE MAKALIO MAKUBWA HIPS LAPAGAWISHA MAREKANI.

    Mwana mama Mikel Ruffinelli(39 Kutoka nchini Marekani akipunga upepo ufukwen

    DAWA YA MENO  SONSODYNE NI JIBU LAKO

    DAWA YA MENO SONSODYNE NI JIBU LAKO

     SENSODYNE Ni Dawa ambayo iliyothibitishwa kitaalamu kwaajili ya meno yenye ganzi (UKAKASI).au maumivu makali ya muda mfupi yatokanay...

    WANAFUNZI KUTOKA MAREKANI WAPATA UZOEFU HOSPITALI YA JK KIGAMBONI

    WANAFUNZI KUTOKA MAREKANI WAPATA UZOEFU HOSPITALI YA JK KIGAMBONI

         Dkt. Telesphory Kyaruzi akionyesha moja ya vifaa aliyopokea kutoka kwa Wamarekani waliofika katika Hospitali ya JK iliyopo Kigamboni Da...

    WAKILI MAHAKAMA KUU YA TANZANIA KUFUNGUA KESI KWA NIABA YA WANANCHI KUHUSU TOZO DARAJA LA KIGAMBONI

    WAKILI MAHAKAMA KUU YA TANZANIA KUFUNGUA KESI KWA NIABA YA WANANCHI KUHUSU TOZO DARAJA LA KIGAMBONI

         Wakili wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mohamed Majaliwa WAKILI wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mohamed Majaliwa amesema kwa niaba ya wananchi...

    ANGALIA PICHA ZA AINA YAKE

    ANGALIA PICHA ZA AINA YAKE

    Uwezi kukuta Mbwa, Panya na Msituni manyani wote wanakuwa kitoweo. Awa ni popo wamesha aandaliwa tayari kwa kitoweo Ametole...

    WATENDAJI WA UCHAGUZI WAKUMBUSHWA KUSHIRIKIANA NA WANAHABARI

    WATENDAJI WA UCHAGUZI WAKUMBUSHWA KUSHIRIKIANA NA WANAHABARI

       Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Magdalena Rwebangira amewakumbusha watendaji wa Uchaguzi ngazi ya Mkoa na Jimbo kushirikian...

    DCI MSTAAFU BALOZI ADADI RAJAB OCTOBA 29 TUJITOKEZENI KWA WINGI KUPIGA KURA

    DCI MSTAAFU BALOZI ADADI RAJAB OCTOBA 29 TUJITOKEZENI KWA WINGI KUPIGA KURA

      - Awataka watanzania kutoka kwa wingi kupiga kura kumchagua Dkt Samia Suluhu,Wabunge na Madiwani wanaotokana na CCM. Na Oscar Assenga,MUHE...

    RAIS SAMIA AWASILI DUBAI. UMOJA WA FALME ZA KIARABU (UAE)

    RAIS SAMIA AWASILI DUBAI. UMOJA WA FALME ZA KIARABU (UAE)

    Leo jioni nimewasili Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambapo nitaungana na viongozi wengine katika uzinduzi wa Global Africa Investmen...

    no image

    KKT KUONGEZA UFAULU WA DARASA LA SABA 2017 KIGOMA

    Na Magreth Magosso,Kigoma WALIMU  wanajifunza mafunzo ya uimarishwaji wa stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu (KKK) Mkoa wa  ...

    MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO MGENI RASMI UZINDUZI WA MWENGE

    MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO MGENI RASMI UZINDUZI WA MWENGE

      Waziri wa Nchi  Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi na Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete (MB)  pichani  leo alipotembelea Uwanja wa Sh...

About Me

khamisimussa77@gmail.com
View my complete profile

Total Pageviews

Powered by Blogger.

Blog Archive

Copyright © 2013 UJIJI RAHAA