SUMATRA yawataka wamiliki na madereva wa pikipiki na Bajaji kuzingatia sheria na kanuni za usafirishaji.
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 12:15 PM
Meneja
Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Nchi Kavu na Majini (SUMATRA)
Bw. David Mziray akitoa wito kwa wamiliki wa Pikipiki na madereva wa usafiri
huo kushirikiana katika kuhakikisha wanatekeleza sheria na kanuni zilizowekwa
na Mamlaka hiyo, wakati wa Mkutano uliofanyika ukumbi wa Idara ya
Habari(MAELEZO) leo Jijini Dar es Salaam.
Picha na Hassan Silayo-MAELEZO
Mkurugenzi
Udhibiti wa Usafiri Barabarani kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Nchi Kavu
na Majini (SUMATRA) Gilliard Ngewe akieleza kwa waandishi wa Habari(hawapo
pichani) juu ya Kanuni za Kudhibiti Usafiri wa Pikipiki na Bajaj, wakati wa Mkutano
uliofanyika ukumbi wa Idara ya Habari(MAELEZO) leo Jijini Dar es Salaam.Kulia
ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Bi.Fatma Salum.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



0 comments: