MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMJULIA HALI KAKA WA DKT. SALMIN AMOUR, ABUU AMOUR, ALIYELAZWA HOSPITALI YA MUHIMBILI
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 9:35 AM
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na mgonjwa Kaka wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, Salmin Amour, Abuu Amour Juma (73) aliyelazwa Hospitali ya Muhimbili wd 16, wakati alipomtembelea kumjulia hali jana hospitalini hapo.
Akiagana na mke wa mgonjwa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal Akimjulia hali Gidamaganga Gopa Sedoyeka Ambae ni Mchumi wa Halmashauri ya Kakonko Ambae nae kalazwa wod hiyo.(PICHA NA KHAMISI MUSSA,Mmiliki wa www.ujijirahaa.blogspot.com)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments: