MAADHIMISHO YA SIKU YA MACHO DUNIANI VIWANJA VYA MNAZI MMOJA DAR ES SALAAM

 Sallama Sasillo Akipatiwa Miwani na



 Baadhi ya wananchi walio jitokeza kupima Afya ya Macho  katika siku ya Maadhimisho ya siku ya MachoDuniani viwanja vya Mnazi mmoja
 Dakitari Bingwa wa macho wa Hospitali ya Taifa Muhimbili   Baruani Sufiani
akimpima  Jicho mgonjwa  leo katika siku ya Maadhimisho ya siku ya MachoDuniani viwanja vya Mnazi mmoja
Dakitari Bingwa wa macho wa Chuo Kikuu cha Afya na Afya Shirikishi Muhimbili  Anna Sanyiwa akimpima na kuangalia Mishipa ya Fahamu ya Jicho Samueli Tengeneza  leo katika siku ya Maadhimisho ya siku ya MachoDuniani viwanja vya Mnazi mmoja(PICHA  NA www.ujijirahaa.blogspot.com)

0 comments: