Swapo cha Namibia, na Philipe Paunde wa Frelimo cha Msumbiji.
Makatibu wakuu wa vyama hivyo wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maofisa wengine
Katibu Mkuu wa ANC cha Afrika Kusini, Gwede Mantashi (wa pili kushoto) akijadiliana jambo na baadhi ya maifisa wa chama chake
Katibu wa NEC , Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Asha Rose Migiro, akizungumza kabla ya kumkaribisha Katibu Mkuu wa CCM, Kinana kufungua mkutano huo
Katibu Mkuu wa ANC cha Afrika Kusini, Gwede Mantashi
Washiriki wakiwa katika mkutano huo
Baadhi ya washiriki wakiwa katika
Kinana akielezea mbele ya wanahabari mambo mbalimbali yaliyojadiliwa kwenye mkutano huo zikiwemo changamoto mbalimbali zinazowakabili vijana katika nchini hizo ambazo ni Tanzania, Namibia, Msumbiji, Zimbabwe, Angola na Afrika Kusini.
Katibu Mkuu wa Chama cha Zanu PF cha Zimbabwe, Didy Mutasa, akielezea jinsi chama chake
kilivyofanikiwa tena kutwaa madaraka katika uchaguzi mkuu uliopita.
Katibu wa Nec wa Oganaizesheni, Seif Khatib na Katibu wa Nec Uchumi,Zakhia Maghji wakitoka wakati wa mapumziko ya muda.
Kinana na Mantashi wakitoka kwenye ukumbi wa mkutano kwa mapumziko ya muda
Katibu Mkuu wa ANC cha Afrika Kusini, Mantashi akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mambo muhimu yaliyozungumzwa kwenye mkutano huo ikiwemo nchi hizo kubadilisha uzoefu.

0 comments: