BURIANI MPEDWA WETU ANKO JULIUS NYAISANGAH

Enzi ya uhai wake
Watoto wa Maremu Nyaisangah, Samwel Nyaisangah na Beatrice Nyaisangah












Mke wa marehemu, Leah Nyaisanga (wa pili kulia) akiwa
katika picha ya pamoja na wanafamilia ya Nyaisanga.
Kutoka kulia ni mtoto wa marehemu, Beatrice Nyaisanga
na Samweli Nyaisangah
Mke wa marehemu, Leah Nyaisanga akiwa na watoto
wake Samweli Nyaisanga na Beatrice Nyaisanga
.
Mke wa marehemu, Leah Nyaisanga akiwa na watoto
wake Samweli Nyaisanga na Beatrice Nyaisanga.katika picha na wanafamilia

Mke wa marehemu, Leah Nyaisanga akiwa na watoto
wake Samweli Nyaisanga na Beatrice Nyaisanga.katika picha na wanafamilia
Waombolezaji









Regina Mwalekwa akisoma neno la Mungu





Makamu wa Rais, Mohamed Gharib Bilal akipeana
mkono na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom
Kibanda.
 Makamu wa Rais akiweka sahihi katika kitabu cha
maombolezo.

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Absalom
Kibanda akizunguka
Mwenyekiti wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari
(MOAT), Reginald Mengi akizungumza wakati wa ibada ya
kuaga mwili wa marehemu.

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman
Mbowe akitoa salamu za rambirambi

Makamu wa Rais akitoa salamu za rambirambi
Mjane wa marehemu, Leah Nyaisanga akitoa heshima
za mwisho.
Makamu wa Rais, Mohamed Gharib Bilal akitoa
heshima za mwisho.
Makamu wa Rais, Mohamed Gharib Bilal Akimpa mkono  Mke wa marehemu, Leah Nyaisanga
Makamu wa Rais, Mohamed Gharib Bilal Akimpa mkono wa pole mtoto wa marehemu Beatrice Nyaisanga.
Makamu wa Rais, Mohamed Gharib Bilal Akimpa mkono wa pole kaka wa Ukoo wa familia ya marehemu Nayaisangah Kanal mstaafu wa jeshi Andrew Masiaga Chacha
 Mwenyekiti wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari
(MOAT), Reginald Mengi akizungumza na DC wa Bahi Betty Mwasa (kulia) na wakatikati ni mwanahabari mkongwe Abubakari Liongo


Mwanahabari Mkongwe Pascal Mayalla  akifanya mahojiano na   Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe alipo fika kuuaga mwili wa marehemu Nyaisangah  katika kiwanja cha Leaders Club


wakongwe Wakihabarishana mambo mbalimbali  katika kiwanja cha  Leaders Club baada ya kuuaga mwili wa mwanahabari mwenzao Nayaisangah


PICHA NA KHAMISI MUSSA Mmiliki wa Blog ya (  www.ujijirahaa.blogspot.com )

0 comments: