




KATIBU MKUU CCM AONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI KISIWANDUI, ZANZIBAR
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 9:36 AM Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akiongoza Kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika katika Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui, Zanzibar, leo Jumanne, tarehe 28 Julai 2026
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments: