WAFANYA BIASHARA WA KARIA KOO WAGOMEA MASHINE ZA(TRA)

 Bango la wafanya Biashara wakiwa wameweka  na lenye maandishi yanayo Someka Hatutaki Mashine za T.R.A Kodi bila mashine Inawezekana 
 Mfanya Biashara akihesabu Pesa alizopewa na mnunuzi wa nguo hizo,wapili (kulia) alie jifunga kitambaa cheusi Eneo la Mtaa wa Kongo  leo Ambapo wafanya Biashara wa Kariakoo wakiwa wamefunga Maduka kutokana na Kuzigomea Mashine  za Elektroniki za Mamlaka ya Mapato (TRA)
 Mmoja wa wafanya Biashara akiongea na waandishi wa Habari Mtaa wa Kongo leo,Akiikumbusha Serekari kua Mwaka jana Ilitoa tamko,  Makusanyo yaliongezeka na Kuvuka Lengo  la ukusanyaji  Mapato  bila Mashine zao za Elektronik na Mshine hizo ziwe Kandamizi

 Wafanya Biashara Ndogondogo na wafanya kazi wa Maduka hayo wakiwa na nyuso za Huzuni Baada ya wamiliki wa Maduka   kugomea mashine za Elektronik za Mamlaka ya Mapato(TRA)
 Wateja wakiwa wanachagua Nguo Mtaa wa Kongo Dar es Salaam na Huku wafanya Biashara wakigomea Mashine za Mamlaka ya Mapato


 Mmoja wa wafanya Biashara Bwana Lucas Mlam Akiongea na waandishi wa Habari kwa swala la Mashine kua ni Bei kubwa na nyingine ni Mbovu  mtaa wa Agrey leo
 Maduka yakiwa yamefungwa

Wenye mikokoteni wakiwa katika huzuni kwakukosa wateja Mtaa wa Agrey
 Wafanya Biashara wa Kihindi wakiwa na nyuso za huzuni
 Mfanya Biashara wa Studio ya A TO Z,Akiungana na Wafanya   hao
Wenye mikokoteni wakiwa katika huzuni kwakukosa wateja Mtaa wa Agrey(PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)Mmiliki wa  www.ujijirahaa.blogspot.com

0 comments: