tikadi na Uenezi, Nape Nnauye.Katika mkutano huo Shibuda aliseama kuwa viongozi wa vyama vya siasa wasirumbane kwa matusi bali washindane kwa hoja.PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Shibuda akisindikizwa na wafuasi wa chama chake cha Chadema kuingia kwenye mkutano wa hadhara wa CCM.
Nape akikumbatiana na Shibuda
Nape akikumbatiana kwa furaha na Nape
Nape akitangaza uwepo wa Shbuda katika mkutano huo
Wafuasi wa CCM wakishangilia wakati Shibuda akihutubia katika mkutano wa CCM
Shibuda na Kinana wakiwatuliza mzuka wafuasi wa vyama hivyo viwili waliopagawa wakati Shibuda akihutubia
Kinana akimsindikiza Shibuda baada ya mkutano huo kumalizika
Nape akimsindikiza Shibuda baada ya mkutano huo kumalizika.
0 comments: