(PICHA ZOTE NA( www.ujijirahaa.blogspot.com) |
MBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE ABBAS MTEMVU ATOA NEEMA KWA KIKUNDI CHA JOGGING TEMEKE
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 4:33 AM
Mbunge wa jimbo la temeke Abbas Mtemvu akisalimiana na viongozi wa temeke Jogging mara alipo wasili katika ofisi za ccm temeke mwisho.
Wanachama wa Jogging wakifurahia kwa Mbunge wa jimbo la temeke Abbas Mtemvukwakukubali kwake kua mlezi wa Jogging .
Mwnyekiti wa Temeke Jogging,Mussa Mtulia akimkaribisha Mbunge wa jimbo la temeke Abbas Mtemvu kuongea na wanachama wa Jogging na kukubali kwake rasmi kua mlezi wa Jogging na amekabihi jezi 200 na 200000.na kwawalev wadogo ameomba apewe wiki 2.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: