Hii
ndiyo Baa ya Samaki Samaki ikiteketea kwa moto leo baada ya kutokea
Hitilafu ya Umeme wakati baa hiyo ilipokuwa ikibomolewa leo ili kupisha
upanuzi wa barabara hiyo inayoendelea kujengwa, ambapo eneo hilo
linatarajiwa kujengwa 'Service Road', ambapo ilitokea shoti ya umeme na
kuteketeza jengo hilo. Picha na Mpiga Picha Wetu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: