UJUMBE WA KIUFUNDI KUTOKA KUWAIT WAWASILI NCHINI TANZANIA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 5:13 AMWaziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango (kushoto) akutana na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Jasem Al-Najem mjini Dodoma ili kujadili miradi ya Mfuko wa Maendeleo wa Kuwait ambapo Ujumbe wa Kiufundi wa Mfuko huo uko ziarani hivi sasa nchini Tanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



0 comments: