Mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zanzibar Salumu Mwalimu
akipokewa na viongozi wa chama hicho baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa
Zanzibar akifuatana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk.Wilbrod Slaa (kulia) na
viongozi wengine wa chama hicho jana.
wafuasi wa Chadema kwenye mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Salumu Mwalimu
baada ya kuwasili kwenye ofisi hiyo Darajabovu mjini Zanzibar jana.
jambo na manaibu wake, John Mnyika (kushoto) na Salumu Mwalimu (kulia) kwenye
mkutano na wanachama na viongozi wa chama hicho jana.
wa Chadema wakimsikiliza Dk.Slaa alipozungumza nao kwenye ofisi za chama hicho
huko Darajabovu mjini Zanzibar jana.
akikabidhiwa vifaa vya ofisi kutoka kwa mtangulizi wake Hamad Yusuf (kushoto)
Mkuu wa Chadema, Dk.Wilbrod Slaa.
ofisi za chama hicho Darajabovu mjini Zanzibar jana.
0 comments: