SIMBA SC NA POLISI MORO KATIKA PICHA JANA TAIFA

Beki wa Polisi Morogoro, akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba SC, Amisi Tambwe jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1.
Kiungo wa Simba SC, Shaaban Kisiga 'Malone' kushoto akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Polisi, Lulanga Mapunda
Kikosi cha Simba SC jana
Kikosi cha Polisi jana
Wachezaji wa Simba SC wakimpongeza Emmanuel Okwi baada ya kuwafungia bao la kuongoza jana
Wachezaji wa Polisi wakimpongeza mfungaji wao bao lao la kusawazisha, Danny Mrwanda wa pili kulia
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Kassim Dewji kushoto akiwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Said Tuliy wakifuatilia mchezo huo jana

0 comments: