Posted by
khamisimussa77@gmail.com
at
2:55 AM
Posted by
khamisimussa77@gmail.com
at
2:41 AM
FUNDI AJINYONGA
Emmanuel
Carlos enzi za uhai wake. Habari kutoka eneo la tukio zinasema kwamba,
kwa muda mrefu, marehemu alikuwa na mgogoro usioisha na mkewe Mariamu
Suleimani uliosababisha wawili hao kulala katika vyumba tofauti ndani ya
nyumba yao. Baadhi ya majirani wa eneo hilo walisema kutokana na ugomvi
huo, marehemu alikuwa akirudi nyumbani usiku akiwa amelewa na kumtukana
matusi mkewe huku baadhi wakienda mbali na kudai alikuwa haachi hela ya
matumizi.
hali ya kushangaza, mtu mmoja ambaye ni fundi seremala aitwaye
Emmanuel Carlos, mkazi wa Kwabinyau Magomeni jijini Dar amekutwa akiwa
amejinyonga saa mbili asubuhi Septemba 23, mwaka huu katika kile
kinachodaiwa kuchoshwa na mgogoro wa kifamilia.
Hata hivyo, mkewe marehemu anadaiwa kuwa na biashara yake ya samaki
na alikuwa akijituma ili kuhakikisha anapata nauli ili arejee nyumbani
kwao.
Mke
wa marehehu akilia kwa uzuni. Kwa mujibu wa maelezo yaliyopatikana, mtu
wa kwanza kujua kuhusu suala hilo alikuwa ni kijana wake mwenye umri wa
miaka saba, Celestine Carlos aliyekwenda chumbani kwa baba yake kuomba
hela ya shule, ambapo alimkuta akining’inia kwenye dari baada ya kuwa
amejifunga kamba kwenye feni.
Akizungumza na waandishi wetu Mariamu alisema kuwa siku moja kabla ya
tukio, mumewe alirudi nyumbani na kumtukana huku akilia na kumwambia
kuwa atamkumbuka sana katika maisha yake na kwamba kabla ya kupambazuka
mmoja wao atakuwa amekufa.
“Siku iliyofuata alipoamka alinikuta naosha vyombo, akanitazama kwa jicho baya kisha akaenda chumbani kwake ambako alijifungia.
Naye mjumbe wa serikali ya mtaa huo, Jumanne Mneka alikiri kufahamu
mgogoro wa familia hiyo na kusema walikuwa wakiwasuluhisha kila mara.
Majirani wakiwa wameshtushwa na kushangazwa na jambo hilo, waliungana
na wapita njia kwenda kushuhudia tukio hilo, hali iliyoufanya mtaa huo
usipitike kwa muda.
Waandishi wetu waliwashuhudia polisi wakifika eneo hilo na kuuchukua
mwili na kuupeleka katika Hospitali ya Mwananyamala kwa ajili ya
uchunguzi. Marehemu ameacha mke na watoto wawili.
UJIJI FOKAS LENZI YAWALETEA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 6:21 PM
Hapa kwa ustaarabu wamejipanga ,je ingekuwa hapa kwetu ingekuwa hivi kwa utulivu?
Hapa ni mazoezi yakutukuka
Kwakila Mmoja kupigania kugusa Glas iliyojaa mvinyo
Wananchi wakimwangalia mwananchi mwenzao akifanya mazoes katikati
Wananchi wakiangalia Gari likipita katika Daraja la dharula
Posted by
khamisimussa77@gmail.com
at
1:54 PM
PICHA: WEMA ATIMIZA MIAKA 26, PARTY YAKE KUFURU, APEWA GARI MBILI MPYA
| Wema Sepetu na Mama Yake |
| Wema Sepetu Katika Birthday Party yake yakutimiza miaka 26 |
| Mboni Masimba wa TheMboniShow pia alikuepo |
Posted by
khamisimussa77@gmail.com
at
1:47 PM
YANGA SC YAILAZA 2-1 PRISONS, COUTINHO APIGA BONGE LA BAO, MSUVA AFUNGA LA USHINDI
Home
»
Unlabelled
» YANGA SC YAILAZA 2-1 PRISONS, COUTINHO APIGA BONGE LA BAO, MSUVA AFUNGA LA USHINDI
YANGA SC imepata ushindi wa kwanza katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya kuilaza Prisons ya Mbeya mabao 2-1 jioni hii Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mbrazil Andrey Coutinho alikuwa wa kwanza kuipatia Yanga SC bao dakika ya 34 kwa shuti la mpira wa adhabu kutoka umbali wa zaidi ya mita 25, baada ya Mrisho Ngassa kuangushwa.
Yanga SC ingeweza kwenda kupumzika na mabao zaidi, kama mshambuliaji wake tegemeo kwa sasa, Mbrazil, Genilson Santana Santos ‘Jaja’ angetumia vizuri nafasi mbili nzuri alizotengenezwa.
![]() |
| Andrey Coutinho akishangilia baada ya kuifungia Yanga SC bao la kwanza |
Kwanza ilikuwa ni krosi ya karibu ya Ngassa dakika ya 31 kutoka upande wa kulia, lakini Jaja akachelewa na kipa Mohamed Omar akapangua mpira juu ya kichwa cha Mbrazil huyo.
Baadaye, dakika ya 42 Niyonzima alimtoka vizuri beki wa Prisons na kutia krosi nzuri ya juu, ambayo Jaja pamoja na kuiunganisha kwa kichwa kuelekea nyavuni, lakini ikaokolewa karibu na mstari wa lango.
Kwa ujumla, Yanga SC inayofundishwa na Mbrazil Marcio Maximo, ilicheza vizuri kipindi cha kwanza, wakati Prisons pamoja na kuonyesha upinzani, lakini ilioneiana kuzidiwa.
Prisons ilimaliza kipindi cha kwanz aikiwa pungufu, baada ya beki wake, Jacob Mwakalobo kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 39 baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano na refa Andrew Shamba wa Pwani, kufuatia kumchezea vibaya Ngassa.
![]() |
| Mshambuliaji wa Yanga SC, Mrisho Ngassa akipambana na beki wa Prisons, Jacob Mwakalobo leo Uwanja wa Taifa |
Kipindi cha pili, Prisons walibadlika na kuanza kusukuma mashambulizi yenye uhai langoni mwa Yanga SC- hali ambayo iliwafanya wapate bao la kusawazisha dakika ya 67, mfungaji Ibrahim Kahaka aliyetokea benchi ambaye alimalizia pasi ya Jeremiah Juma.
Lakini bao hilo halikudumu, kwani dakika mbili baadaye, Simon Msuva aliifungia Yanga SC bao la ushindi akimalizia krosi maridadi ya Ngassa kutoka upande wa kulia.
Baada ya hapo, timu hizo zilianza kushambuliana kwa zamu na Prisons walilalamika kunyimwa penalty baada ya beki na Nahodha wa Yanga SC, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ kuunawa mpira kwenye boksi.
![]() |
| Jaja akimpongeza Msuva baada ya kufunga bao la ushindi |
Kikosi cha Yanga SC kilikuwa; Deo Munishi ‘Dida’, Juma Abdul, Edrwad Charles, Kevin Yondan/Rajab Zahir dk77, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Mbuyu Twite, Haruna Niyonzima, Hassan Dilunga/Hamisi Thabit dk54, Genilson Santana ‘Jaja’, Mrisho Ngassa na Andrey Coutinho/Simon Msuva dk58.
Prisons; Mohamed Omar, Salum Lameya, Laurian Mpalile/Boniface Hau dk74, Nurdin Chona, Lugano Mwangama, Jumanne Elfadhil, Meshack Olest/Julius kwangwa dk35, Freddy Dungu, Jacob Mwakalobo, Amin Omary/Ibrahim Kahaka dk53 na Jeremiah Juma.
Posted by
khamisimussa77@gmail.com
at
11:09 AM
First Glimpses Of Chelsea Clinton’s New Baby Girl [Photos]


Proud grandparents!
Even before little Charlotte Clinton Mezvinsky’s arrival, her appearance has been eagerly anticipated. Hillary Clinton has referred to the prospect of becoming a grandma the “most exciting title yet.” Prior to Charlotte’s arrival, Hillary Clinton had even picked out the first books she planned on reading her new grandchild, beginning with the classic Goodnight, Moon.
Bill Clinton has been as equally eager to become a grandparent as wife Hillary. In fact, his phone ringer was even left on during an event with former President George W. Bush in September…and his cell phone did ring on stage. He explained that only two people had that number, and that they were both related to him…and then added that he hoped he wasn’t becoming a “premature grandfather.” Former President Clinton was also supposed to appear at a fundraiser in Denver to help Democrats running for both Senate and the governor’s seat this last Saturday, but instead he literally phoned in his 11-minute speech, delivering it by speakerphone. As Clinton told the crowd, “I hope I get an excused absence. You all know my family just got a little bigger, and I figured I should stay home where I’m really needed.”

Looks like Charlotte already has them wrapped around her finger!
Certainly, the smitten looks on the Clintons’ faces as they look at their new granddaughter show that they are more than enjoying their new titles as Grandma and Grandpa! And it may be that they are holding the only baby in the world who might one day be able to claim that both her grandpa and grandma were President of the United States of America
Posted by
khamisimussa77@gmail.com
at
11:06 AM
Vladimir Putin May Threaten World War 3, But Thousands Of Russians Are Marching For Ukraine

ADVERTISEMENT
In a related report by The Inquisitr, former presidential adviser Andrey Illarionov claimed that Vladimir Putin has been planning for a major war since at least 2003. But Nigel Farage, leader of the United Kingdom Independence Party, suggests that the U.S. and Russia need to stop squabbling over Ukraine and instead enlist Putin to focus on the larger threat of the Islamic State. There’s also some who blame the United States for instigating World War 3, although some conspiracy theorists go way out into left field by suggesting a Jewish conspiracy out of Israel is pushing for WW3.
Earlier in the month, Vladimir Putin painted the Ukraine war as being like World War II, except in this case the U.S.-backed Ukraine are the Nazis and the Russian separatists are the Soviet citizens of Leningrad.
“Small villages and large cities are surrounded by the Ukrainian army, which is directly hitting residential areas with the aim of destroying the infrastructure,” Putin said. “It sadly reminds me of the events of the Second World War, when German fascist… occupiers surrounded our cities.”
According to the Los Angeles Times, Putin also warned the West that it’s “best not to mess with us” while also saying, “”Thank God, I think no one is thinking of unleashing a large-scale conflict with Russia. I want to remind you that Russia is one of the leading nuclear powers.”
According to the Pew Research Center, 52 percent of Russians believe that Ukraine has “become a puppet in the hands of the West and the U.S.A., who are pursuing an anti-Russia policy.” The 48 percent of Russian who apparently disagreed with Vladimir Putin rose up in massive protests, with an estimated 50,000 to 100,000 people marching through downtown Moscow during this past week. Demonstrators for the People’s Freedom Party, Yabloko, and Progress Party were heard chanting, “peace to Ukraine, freedom to Russia” and “no Putin, no war,” and “Russia without Putin.”

“The main outcome in Russia was a serious anti-war movement and peace party, which today look dignified and powerful; especially against the backdrop of a war party, whose leader is Putin…. The March was attended by some nationalists and left-wing organization that indicates a serious schism in the left and the nationalist movement on the issue of war with Ukraine. Because Putin is for war, the march of peace was pronounced as anti-Putin in nature…. The march had a very important psychological effect. Supporters of the world saw each other and it turned out there is a lot of us; very much! It attaches and strengthens our faith in our victory.”Supporters of Vladimir Putin’s policies were also vocal in their support. A counter-protest to the march attempted to hold flags in support of Putin and also for the “Donetsk People’s Republic,” which is located in eastern Ukraine, but it’s claimed their efforts were drowned out by the pro-Ukraine protesters. It’s also claimed these people were “aggressive” and “drunk” and attempted to provoke the pro-Ukraine protesters.
According to the Associated Press, Russian foreign minister Sergey Lavrov accused the United States of not being able to abandon its Cold War “genetic code.” He also claimed the Ukraine war was the result of an uprising against former pro-Russian President Viktor Yanukovich “backed by the US and the European Union for the purpose of pulling Kiev out of its ‘organic role as a binding link between’ east and west, denying it the opportunity for ‘neutral and non-bloc status.'” Although German foreign minister claimed the Russian annexation of Crimea “broke international law,” Lavroy said the Russian-speaking population made the final decision.
What do you think about the allegations by these Russian protesters that Vladimir Putin is pushing for war?
Read more at http://www.inquisitr.com/1504315/vladimir-putin-may-threaten-world-war-3-but-thousands-of-russians-are-marching-for-ukraine/#2ackWRAOybwvKLed.99
Posted by
khamisimussa77@gmail.com
at
2:06 AM
SIMBA SC NA POLISI MORO KATIKA PICHA JANA TAIFA
Home
»
Unlabelled
» SIMBA SC NA POLISI MORO KATIKA PICHA JANA TAIFA
![]() |
| Kiungo wa Simba SC, Shaaban Kisiga 'Malone' kushoto akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Polisi, Lulanga Mapunda |
![]() |
| Kikosi cha Simba SC jana |
![]() |
| Kikosi cha Polisi jana |
![]() |
| Wachezaji wa Simba SC wakimpongeza Emmanuel Okwi baada ya kuwafungia bao la kuongoza jana |
![]() |
| Wachezaji wa Polisi wakimpongeza mfungaji wao bao lao la kusawazisha, Danny Mrwanda wa pili kulia |
![]() |
| Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Kassim Dewji kushoto akiwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Said Tuliy wakifuatilia mchezo huo jana |
Posted by
khamisimussa77@gmail.com
at
1:57 AM
Related Stories
- PKK urges Kurds to combat IS as 130,000 flee to Turkey AFP
- PKK militants call on Turkish Kurds to fight Islamic State in Syria Reuters
- About 60,000 Syrian Kurds flee to Turkey from Islamic State advance Reuters
- Islamic State offensive poses problems for Turkey Associated Press
- Turkey struggles with spillover as Syrian Kurds battle Islamic State Reuters
Another team of police were deployed as reinforcements as the clashes continued, but their vehicle overturned in an "accident" at the scene, the agency added, without giving further details.
Dogan quoted Bitlis governor Orhan Ozturk as saying that five police were taken to hospital. Three died of their wounds while the two others were receiving treatment.
NTV television showed the three police being given a funeral with full honours in Bitlis, their coffins draped in the Turkish flag.
There was no further information on the assailants from the authorities, with the ambush coming at a time of mounting tensions between the government and Kurdistan Workers Party (PKK) rebels.
- 'PKK wing claims attack' -
But
the People's Defence Forces (HPG) -- the military wing of the PKK --
claimed on its website it had attacked the police as a warning to the
Turkish government.
It said its "guerilla forces had carried out the action from a close distance".
It
also claimed another attack outside Diyarbakir on Friday, which it said
had killed one Turkish policeman. This purported incident has not been
reported by Turkish media.
"If the Turkish government does not abandon its murderous actions... then our answer will be clear," the HPG said.If confirmed, the attack by the HPG would be a significant breach of the ceasefire between the PKK and Turkish authorities, which has largely held since March 2013 despite stalling peace talks.
Several Kurdish militant factions have warned violence could break out again if the government does not produce a convincing roadmap for the peace process by the end of the month.
The PKK, which has been observing a truce in its 30-year insurgency in the southeast, is angry at Turkish policy on Syria as Islamic State (IS) militants advance on the Syrian Kurdish town of Ain al-Arab.
Some 160,000 mainly Kurdish refugees have fled across the border into Turkey, but Ankara infuriated Kurdish rebels last week by not allowing some back into Syria to fight the Islamists.
The ruling Islamic-rooted Justice and Development Party (AKP) has insisted it remains committed to ending Turkey's insurgency, which has claimed 40,000 lives over the last three decades.
"We have reached a very valuable point in the peace process and I know its value," the CNN-Turk television channel quoted Deputy Prime Minister Yalcin Akdogan as saying Saturday.
"Tearing
this up or making threats is not going to get us anywhere and is just
going to create problems. Let's sit down and talk," he added.
Related Video:
Subscribe to:
Posts (Atom)




























0 comments: