STARS SARE DHIDI YA MSUMBIJI UWANJA WA TAIFA DAR ES SALAAM LEO

Boniface  Wambura akiteta jambo na viongozi wenzake kabla ya mchezo Taifa Stars na Timu ya Msumbiji leo.(PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)Mmliliki wa Blog ya  UJIJI RAHAA.
 Mashabiki wakiwa na bango lenye ujumbe

 Madaktari wa Timu ya Taifa Stars wakiwa makini katika kufatilia mpambano wa timu hizo, Joakim Mshanga,kulia na kushoto ni dr Billy Haonga

 Mshambuliaji wa Taifa Stars , Khamisi Mcha ,akimtoka mchezaji wa Timu ya msumbiji Zainadine Junior
 Doktari wa Taifa Stars Joakim Mshanga,  akifunga kibendera baada ya kukatika ambapo Mpira ulisimama kwa dakika tano hadi ilipo fungwa kibendera hicho





0 comments: