MTOTO ANUSURIKA KUUAWA MARA BAADA YA KUCHOMWA NA MOTO KWA KUTUMIA MIFUKO YA RAMBO NA MAMA YAKE MZAZI

 Miguu ya mtoto Brayan iliyochomwa na mama yake mzazi.
MTOTO, Brayani Emanuel mwenye umri wa miaka sita, amenusurika kuuawa baada ya mama yake mzazi Rose Mwanisisi Mkazi wa kitongoji cha Chemchem kilichopo eneo la Mbalizi Mbeya vijijini, kujaribu kumchoma moto kwa kutumia mifuko ya manila.Tukio hilo limetokea Julai 16 mwaka huu, ambapo imeelezwa kuwa mama huyo baada ya kurudi nyumbani kwake majira ya jioni hakumkuta mtoto,hivyo aliaanza kumtafuta na alipompata alimfungia ndani na kisha kumchoma  moto kwa kutumia mifuko ya manila.

0 comments: