MAMIA WAMZIKA HALIDA, NI YULE ALIYEFARIKI KATIKA SWALA YA IDD

waombelezaji_cb4bd.jpg
Wakazi wa mjini Iringa leo wajitokeza kwa wingi kumzika Halida Ng'anguli katika makaburi ya Makanyagio, ni yule aliyefariki siku ya Iddi el fitri baada ya kuanguka chooni katika uwanja wa samora jana.Waislamu nchini jana wameungana na waislamu wenzao duniani kuswali sala ya Iddi mkoani Iringa lakini kwa bahati mbaya muumini mwenzao Halida Ng'anguli mkazi wa Mwangata C ambaye ni shangazi wa manahabari wa gazeti la majira Iringa Zuhura zuhkeri kufariki dunia baada ya masaa machache toka aanguke chooni uwanja wa Samora.
jeneza_a7075.jpg

kaburi_48751.jpg
waombelezaji_3_b2313.jpg
Wakazi wa mjini Iringa leo wakiwa nyumbani kwa marehemu Halida Ng'anguli Mwangata C. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)

0 comments: