DIAMOND PLATINUMZ ATUWA DAR ES SALAAM LEO

 Diamond Platinumz, akiwa katika gari la wazi akiimba moja ya nyimbo zake akiwa na wadau wake leo mara alipo wasili wakiwa eneo la Faya.(PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA) Mmiliki wa www.ujijirahaa.blogspot.com
Ikifunguka ,funguwa ukurarasa wenye herufi kubwa ( UJIJI RAHAA ).
 Wadau wa  Diamond Platinumz, wakiwa wanakimbia huku wameshika bango lenye picha ya Msanii huyo.
 Mshabiki wa Diamond Platinumz, akiwa amepanda gari lenye namba T327 CYC, kwa nyuma wakati wa mapokezi ya msanii huu Dar es Salaam leo 
Dreva wa Bodaboda akiwa  amewabeba washabiki wa Diamond Platinumz,    wakati wa mapokezi ya msanii huu Dar es Salaam leo
 Mwanamziki wa kizazi kipya ,kupitia bongo Movie,Nasseb Abdul "Diamond Platinumz", akisalimiana na Mashabiki  wake mara alipowasili Nchini jana baada ya kutwaa Tuzo mbili za Afrika music Magazine Awald "AFRIMMA2014" kupitia kipengele cha msani bora wa kiume Afrika Mashariki.
 Mashabiki wakiwa katika Bajaji wakimsalimia  Diamond Platinumz
 Mashabiki wakiwa wanatowa mitindo tofauti mara alipowasili Dar es Salaam leo
 Wanahabari wakiwa kazini mara walipo mpokea  Diamond Platinumz,Dar es Salaam leo

 Diamond Platinumz,akiwaonyesha mashabiki wake mara alipo wasili leo

0 comments: