NMB YASHIRIKI MAONYESHO YA WIKI YA MLIPA KODI YANAYOENDELEA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 6:58 AM
Meneja Huduma kwa
Mlipa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Allan Joseph Kiula,
akipata maelezo kuhusu bidhaa na huduma zinazotolewa na benki ya NMB kutoka kwa
Afisa wa NMB, Adamu Karazani (kushoto) alipotembelea banda la NMB katika
maonyesho ya wiki ya mlipa kodi yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
Wengine kutoka kulia ni maofisa wa NMB Edith Mavura na Exvaria
Mapunda.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments: