BOSI WA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA CHINA ATUA NCHINI KUSHIRIKI MKUTANO WA VYAMA VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA


 Naibu Waziri wa Idara ya Kimataifa ya Chama cha Kikomunisti cha China, Ai Ping (kulia) akilakiwa na Katibu wa Nec-CCM wa Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha Rose Migiro baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, tayari kuhudhuria mkutano wa makatibu wakuu wa vyama vya ukombozi kusini mwa Afrika kesho jijini Dar es Salaam. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
 Migiro akisalimiana naye
 Dk. Migiro akizungmza naye VIP Airport Dar
Naibu Waziri wa Idara ya Kimataifa ya Chama cha Kikomunisti cha China, Ai Ai Ping (kulia) akilakiwa na Katibu wa Nec-CCM wa Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha Rose Migiro baada ya kuwasili  kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, tayari kuhudhuria mkutano wa makatibu wakuu wa vyama vya ukombozi kusini mwa Afrika kesho jijini Dar es Salaam.Katikati ni Balozi wa China nchini, Dk. Lu Youqing.

0 comments: