KINANA, NAPE WAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO SHINYANGA VIJIJINI

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye wakisaidia kujenga birika la kunyweshea ng'ombe, akatika Kijiji cha Didia, wakati wa ziara ya kuimarisha chama  na kukagua utekelezaji wa ilani cya CCM ya Uchaguzi ,katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Vijijini, mkoani Shinyanga. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye wakisaidia kujenga birika la kunyweshea ng'ombe, akatika Kijiji cha Didia, wakati wa ziara ya kuimarisha chama  na kukagua utekelezaji wa Iolani cya CCM ya Uchaguzi ,katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Vijijini, mkoani Shinyanga juzi. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye wakisaidia kujenga birika la kunyweshea ng'ombe, katika Kijiji cha Didia, wakati wa ziara ya kuimarisha chama  na kukagua utekelezaji wa ilani cya CCM ya Uchaguzi ,katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Vijijini, mkoani Shinyanga. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
 Pilikapilika za maisha mjini Kahama.

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akichezea nyoka ya kikundi cha ngoma za utamaduni ya kabila la wasukuma alpowasili katika Kijiji cha Didia wakati wa ziara ya kuimarisha chama  na kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM ya Uchaguzi ,katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Vijijini, mkoani Shinyanga
 Mbunge wa Jimbo la Msolwa, Ahmed Salum akihutubia katika mkutano wa hadhara  katika Kijiji cha Didia.
 Baadhi ya wakazi wa Kijiji cha Didia katika Jimbo la Msolwa  wakisikiliza hotuba ya Katibu Mkuu Kinana huku wakiwa juu ya Lori kijijini hapo
 Kinana akihutubia katika Kijiji cha Didia
 Kinana akiwa katika picha ya pamoja na mafundi wa Birika la kunyweshea ng'ombe  baada ya kuweka jiwe la msingi katika Kijiji cha Didia.
 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akichezea nyoka ya kikundi cha ngoma za utamaduni ya kabila la wasukuma alipowasili katika Kijiji cha Didia kuzindua rasmi Soko la Didia wakati wa ziara ya kuimarisha chama  na kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM ya Uchaguzi ,katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Vijijini, mkoani Shinyanga. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana  akiwa na Mbunge wa Jimbo la Msolwa, Ahmed Salumu, baada ya kuzindua Soko la Didia, wakati wa ziara ya kuimarisha chama  na kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM ya Uchaguzi ,katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Vijijini, mkoani Shinyanga

 Katibu Mkuu wa CCM, Kinana (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashaurri ya Wilaya ya Shinyanga Vijijini, Mohamed Kiyungi kuhusu ujenzi wa Hospitali ya Iselemagazi, katika Jombo la Msolwa.

 Wananchi wakiwa na mabango waliposimama barabarani katika Kijiji cha Mwabenda, kusimamisha msafara wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ili asikilize kilio  cha tatizo la maji kijijini hapo

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto), akihutubia wananchi wa  Kijiji cha Mwabenda  aliposimama kwa muda  baada ya wanakiji hao kusimama barabarani wakiwa na mabango ya kutaka kutatuliwa tatizo la maji wakati wa ziara ya kuimarisha chama  na kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM ya Uchaguzi ,katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Vijijini, mkoani Shinyanga
 Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Ali Lufunga (kushoto) akihutubia wakati Kinana aliposimama kwa muda, katika Kijiji cha Mwabenda kusikiliza matatizo ya wananchi.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto), akiwasalimia wananchi baada ya kuwasili katika Kata ya Salawe Songambele katika Jimbo la Msolwa  wakati wa ziara ya kuimarisha chama  na kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM ya Uchaguzi ,katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Vijijini, mkoani Shinyanga


0 comments: