MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI AMJULIA HALI RAIS MSTAAFU DKT.KIKWETE NYUMBANI KWAKE
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 10:51 AMMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemtembelea na kumjulia hali, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, katika makazi yake, Kawe Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 10 Agosti 2026.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

.jpeg)



0 comments: