RAIS KIKWETE ATUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA YA CHUO KIKUU CHA NEWCASTLE, AUSTRALIA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 8:37 PM
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mstahiki Meya wa jiji la Newcastle
Mhe. Nuatali Nelmes na viongozi wa chuo kabla ya kuanza kwa msafara wa
kwenda jukwaa kuu kutunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa Sheria
(Doctor of Laws honorific causa) na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Newcastle
Bwana Paul Jeans chuoni hapo nchini Australia leo tarehe 29.7.2015
katika ukumbi wa chuo hicho.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipata picha ya kumbukumbu na Mstahiki Meya wa
jiji la Newcastle Mhe. Nuatali Nelmes kabla ya kuanza kwa msafara wa
kwenda jukwaa kuu kutunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa Sheria
(Doctor of Laws honorific causa) na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Newcastle
Bwana Paul Jeans chuoni hapo nchini Australia leo tarehe 29.7.2015
katika ukumbi wa chuo hicho.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Mstahiki Meya wa jiji la Newcastle Mhe.
Nuatali Nelmes na viongozi wa chuo wakipata maelezo kabla ya kuanza kwa
msafara wa kwenda jukwaa kuu kutunukiwa shahada ya heshima ya udaktari
wa Sheria (Doctor of Laws honorific causa) na Mkuu wa Chuo Kikuu cha
Newcastle Bwana Paul Jeans chuoni hapo nchini Australia leo tarehe
29.7.2015 katika ukumbi wa chuo hicho.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika msafara wa kwenda jukwaa kuu
kutunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa Sheria (Doctor of Laws
honorific causa) na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Newcastle Bwana Paul Jeans
chuoni hapo nchini Australia leo tarehe 29.7.2015 katika ukumbi wa chuo
hicho.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na viogozi wa chuo jukwaa kuu wakisimama
wakati nyimbo za Taifa za Tanzania na Australia zikipigwa wakati wa
kuanza kwa sherehe za kutunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa
Sheria (Doctor of Laws honorific causa) na Mkuu wa Chuo Kikuu cha
Newcastle Bwana Paul Jeans chuoni hapo nchini Australia leo tarehe
29.7.2015 katika ukumbi wa chuo hicho.
Wasanii
wa kabila la Wakakulang wakicheza ngoma za asili yao katika kunogesha
sherehe za kihistorua ambapo Rais Kikwete amekuwa ni Mkuu wa Nchi wa
kwanza kupokea digrii hiyo ya heshima kutoka katika Chuo hicho.
PICHA NA IKULU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: