INAENDELEA- Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Tiba na Upasuaji wa Ubongo na
Mishipa ya Fahamu (MOI), Zakia Meghi
Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Tiba na Upasuaji wa Ubongo na
Mishipa ya Fahamu (MOI), Zakia Meghi, akizungumza na wafanyakazi wa
taasisi hiyo akiwa chumba cha upasuaji alipo kuwa katika kikao Dar es
Salaam (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiXvZb2lXhjxx3I741_mwio6F5IAhfC43gSom_ymDcDXv6MVkb8eHiCFW7dUUoolpursUenRvv3xgcb_2OVuC95v49567qz5eEtuBepzck15d5TrYqhDf4J8S_Uz5wbCbIOIaU0mWEeL1v2/s640/5+%252827%2529.JPG)
Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Tiba na Upasuaji wa Ubongo na
Mishipa ya Fahamu (MOI), Zakia Meghi, katika picha ya pamoja na viongozi wa Taasisi hiyo,
Rais Kikwete amemteuwa Zakia Meghi kuwa mwenykiyi wa bodi ya wadhamini ya MOI, uteuzi huu umetokana na Bodi ya wadhamimini iliyokuwepokuisha muda wake.
Aidha, waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Waziri Seif Rashid (Mb) amewateuwa Dk. Sijenunu Aaron, Profesa Bakari Lembariti, Bibi J Safe na Dk.Eric Aris kuwa wajumbe wa bodi hiyo
ambapo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MOI Dk. Othman Kiloloma atakuwa katibu wa Bodi pamoja na mambo mengine uteuzi huu ni wamiaka 3 kuanzia mei 3, 2015 .
Menejmenti na Jamii ya wana moi wanawapongeza wote walioteuliwa na kuahidi kutowa ushirikiano.
0 comments: