▼
Afisa
Habari wa Wakala wa Ukaguzi wa Madini nchini (TMAA), Mhandisi Yesambi
Shiwa (Kulia) akitoa maelezo juu ya utendaji kazi wa TMAA kwa Naibu
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Hab
Mkwizu (Kushoto) wakati alipotembelea kwenye Banda la TMAA wakati wa
Maadhimisho ya Utumishi wa Umma katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini
Dar es Salaam.
Mashine
ya kisasa ya kupimia ubora wa sampuli za madini ikioneshwa kwenye Banda
la TMAA wakati wa Maadhimisho ya Utumishi wa Umma katika Viwanja vya
Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
Naibu
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Hab
Mkwizu (Kushoto) akizungumza na watumishi wa Wakala wa Ukaguzi wa Madini
(TMAA) alipowatembelea kwenye Banda lao. Wanaomsikiliza ni Afisa
Habari, Mhandisi Yesambi Shiwa (Kulia) na Afisa Utumishi, Bibi Fatma
Chondo (Katikati).
Makaa
ya mawe yakioneshwa kwenye Banda la TMAA wakati wa Maadhimisho ya
Utumishi wa Umma katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment