KAMANDA KOVA AZINDUA PIKIPIKI YA HERO DAWN 125 CC
(katikati), na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Astarc Motors
Tanzania Ltd, Sameer Musale (kushoto), akifungua kitmbaa kuashiria
uzinduzi wa pikipiki mpya aina ya Hero Dawn 125cc katika hafla
yailiyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
akijaribu moja ya pikipiki mpya aina ya Hero Dawn 125cc katika hafla
ya uzinduzi wa pikipiki hiyo jijini Dar es Salaam jana. Wa tatu
kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Astarc Motors Tanzania
Ltd, Sameer Musale na wawakilishi kutoka Astarc.
(kulia), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Astarc
Motors Tanzania Ltd, Sameer Musale (kushoto) katka hafla hiyo.
Kamishna Msaidizi wa Polisi, Amiri Konja (kulia) akitoa rai kwa
waendesha bodaboda kutii sheria za barabarani ili klupunguza ajali
ambazo tawimu zinaonyesha kuongezeka. Kulia kwake ni Kamanda wa
Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova (katikati), na
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Astarc Motors Tanzania Ltd, Sameer
Musale.
katika hafla ua uzinduzi wa pikipiki aina ya Hero Dawn 125cc jijini
Dar es Salaam jana.
No comments:
Post a Comment