Watoto wawili ni kati ya maiti zilizopatikana.
Kazi ya uokozi inaendelea lakini hakuna matumaini ya kunusuru maisha.
Watu kadha bado wametoweka.
Jengo hilo la ghorofa kadha lilikuwa kati-kati ya mji.
Waandishi wa habari wanasema ujenzi wa majumba umeongezeka Tanzania kwa sababu ya uchumi kukuwa, lakini kuna wasi-wasi kuwa vigezo vya ujenzi havifuatwi.
0 comments: