KITUO KIDOGO CHA MAGOGONI DAR ES SALAAM GUMZO KWA MADEREVA WA BODABODA.
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 6:17 AM
Askari jamii akimvuta Mmoja wa Maderevaa wa Bodaboda Mweye Namba za Usajili T413 CBD leo Dar es Salaam, akimpeleka Kituo kidogo Cha Polisi Cha Magogoni Baada ya kumkamata kwa kumvizia na wakivaa nguo Mbili mbili na wa kipokezana Huku Askari Alievaa Sare akisindikiza, kwakile kinacho daiwa Kua hawaruhusiwi kupaki Maeneo hayo ya Utumishi .
Baadhi ya wana Nchi wakitazama
Boda boda ilio kamatwa
Askari jamii akimvuta mwendesha Bodaboda T413 CBD leo Dar es Salaam, akimpeleka Kituo kidogo Cha Polisi Cha Magogoni Baada ya kumkamata kwa kumvizia, Mmoja wa Maderevaa hao kwakile kinacho daiwa Kua hawaruhusiwi kupaki Maeneo hayo ya Utumishi .
Hawa ndio Vinara wa kuwakamata Madereva wa Bodaboda kwa Kutumia Nguvu na kwa kuwavizia Madereva Hao,Baada ya kutumia nguvu Dereva huyo kadondoka chini
Askari Akikwepa Kamera Isimnase na Dereva huyo Kujisalimisha Polisi Mwenyewe(PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: