MBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE ABBAS MTEVU AKIWAMWAGIA DOLA 100 KIKUNDI CHA WASANI CHA MKUBWA NA WANAWE CHA TEMEKE

Mbunge wa jimbo la Temeke  Abbas Mtemvu akisalimiana na mkurugenzi wa Mkubwa na wanawe
 Mbunge wa jimbo la Temeke  Abbas Mtemvu akiwa
katika  picha ya pamoja na kikundi cha Mkubwa na wanawe
alipokwenda kuizindua studio na  kuwasaidia kikundi hicho
temeke Dar es Sallam
Mbunge wa jimbo la Temeke  Abbas Mtemvu akizindua
Studio ya  Mkubwa na wanawe  mtaa wa BMC Temeke
Mikoroshini Dar es Sallam   (kulia ) Mkurugenzi wa

Mkubwa na wanawe Saidi Fella


 Msani wa kikundi cha Mkubwa na Wanawe Roti Mela mbele ya Mbunge wa jimbo la Temeke Abbas Mtemvu
 Msani wa kikundi cha Mkubwa na Wanawe Roti Mela akiburudisha  mbele ya Mbunge wa jimbo la Temeke Abbas Mtemvu mara alipo kwenda kuwatembelea na kuwachangia Dola Elfu moja na kuwalipia kodi ya pango ya mwaka mmoja
  Mbunge wa jimbo la Temeke Abbas Mtemvu akiwa ameshika Dola kwaniaba ya kukabidhi kikundi hicho
  Dola Elfu moja akikabidhi Dola Elfu moja  kwa Getruda Ally ,kwa jina la kisanii (Ge2)
  Getruda Ally akionyesha  Dola Elfu moja zilizo tolewa na  Mbunge wa jimbo la Temeke Abbas Mtemvu kwaniaba ya kukiinua kikundi hicho Huku akijianda kwenda uwanja wa ndege wa  mwalim Julius Kambarage Nyerere 
 Mbunge wa jimbo la Temeke  Abbas Mtemvu akiwa
katika  picha ya pamoja na kikundi cha Mkubwa na wanawe
alipokwenda kuizindua studio na  kuwasaidia kikundi hicho
temeke Dar es Sallam

0 comments: