MAHAFALI YA SHULE YA MATSAPA YA DARASA LA SABA NA AWALI YAFANA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 10:05 AM
Wageni rasmi katika mahafali ya Shule ya Matsapa English Medium kwa
wanafunzi wa darasa la saba na awali, John Kessy (kushoto) na Mgeni maalumu Silas Kisute wakipita katikati ya skauti wa shule hiyo
walipowasili katika mahafali hayo leo.
Walimu ambao ni walimu wa kujitolea kutoka Ujerumani, wakiangalia matunda yanayozalishwa na wanafunzi shuleni hapo.
Wageni waalikwa wakipata maelezo kutoka kwa wanafunzi kuhusu masuala ya sayansi.
Mmoja wa wanafunzi akionesha jinsi walivyo fanya upasuaji wa sungura
Mgeni rasmi akivishwa skafu
Wanafunzi wakiimba wimbo
Wanafunzi wa shule ya awali wakicheza
Mgeni rasmi akihutubia
Wanafunzi wa awali wakicheza
Mwanfunzi Diana wa shule ya awali, akikata keki aliyonunuliwa na wazazi
wake kumpongeza kumaliza masomo ya awali na kuingia darasa la kwanza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: