KINANA AANZA ZIARA MKOANI SIMIYU LEO


 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akivihwa skafu baada ya kuwasili Mkoa wa Simiyu leo kuanza ziara ya uimarisha chama na kukagua Utekelzaji wa Ilani a CCM  kwa kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo. Leo ziara imenza wilayani Maswa. (PICHA NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG)

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye wakipandisha bendera wakati wa uzinduzi wa Shina jipya la CCM la Muungano, wilayani Maswi, Mkoa wa Simiyu
Mwanachama mpya wa CCM, Frank Manyika akipatiwa  na Kinana kadi yake ya uanachama
 Baadhi ya wanachama wa CCM wakila kiapo
 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akisaidia kumpa tofali fundi Wilson Edward alipokagua ujenzi wa Zahanati ya Ghami, katika Kijiji cha Nyalikungu, wakati wa ziara yake wialayani Maswa, Mkoa wa Simiyu. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA)
 Kinasna akizungumza na Mjane wa wa Mwasisi wa CCM, Helena alipotembelea moja ya mashina ya chama hicho mjini Maswa.
Baadhi ya wana CCM wakiwa katika mkutano wa ndani na Katibu Mkuu wa CCM, Kinana
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nnauye akiwa na Mjane wa Mwasisi TANU/CCM alipozungumza na wanachama wa shina la  chama hicho wilayani Maswa leo
Kinana akiwa katika picha ya pamoja na wanachama wa Shina la Sayi baada ya kuzungumza nao katika shina hilo mjini Maswa leo
Mjumbe wa Shina la CCM la Sayi, Elias Sayi akizungumza wakati wa mkutano na Kinana (kulia)
KInana akisaidia kufyatua matofali ya kujengea Zahanati ya Nghami, wilayani Maswa. Kushoto ni Nape Nnauye
.Baadhi ya wanachama wapya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakila kiapo baada ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kuzindua shina la Muungano, eneo la Kumalija, wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama wilayani Maswa, Mkoa wa Simiyu

0 comments: