AMIRI JESHI MKUU,RAIS JAKAYA KIKWETE AKIKAGUA GWARIDE LA ULINZI NA USALAMA.

Amiri Jeshi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete akikagua vikosi vya ulinzi na usalama wakati wa gwaride rasmi lilioandaliwa katika kuadhimisha miaka 49 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika sherehe zilizofanyika jana kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Picha zaidi uk 18.(PICHA NA FREDDY MARO)


Baadhi ya wananchi  wakiwa nje ya uzio wa Uwanja wa Uhuru baada ya kukosa kuingia uwanjani kushuhudia maadhimisho hayo. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)

Askari wa kike wa JWTZ, akijiweka sawa mkanda ulofunguka akiwa kwenye paredi.(PICHA NA KHAMISI MUSSA)

Ndege za kijeshi zikifanya maonesho wakati wa maadhimisho hayo. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)

0 comments: